Mashindano ya Qur'ani
IQNA - Iran itatuma washiriki katika Mashindano ya Kimataifa ya Qur'ani ya Saudi Arabia katika vitendo vya qiraa na hifdhi.
Habari ID: 3478833 Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/16
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Yunes Shahmoradi kutoka Iran aliyeshika nafasi ya kwanza katika Toleo la 2 la Mashindano ya Kimataifa ya Qur’ani ya Otr Elkalam nchini Saudi Arabia amesema shindano hilo lilikuwa la kiwango cha juu.
Habari ID: 3476843 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/10
Mashidano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) - Ifuatayo ni qiraa ya Qari Yunes Shahmoradi kutoka Iran ambaye aliibuka mshindi katika toleo la pili la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Otr Elkalam nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476838 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/09
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Yunes Shahmoradi kutoka Iran ameibuka mshindi katika toleo la pili la Shindano la Kimataifa la Qur’ani Tukufu la Otr Elkalam nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476831 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/08
Mashindano ya Qur'ani
TEHRAN (IQNA) – Qarii wa Jamhuri ya Kiislamu ya Iran Yunis Shahmoradi ni mmoja wa washiriki wanane waliofanikiwa kutinga nusu fainali ya mashindano ya Qur’ani Tukufu ya Otr Elkalam nchini Saudi Arabia.
Habari ID: 3476804 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/04/03
Mashindano ya Qur'ani Tukufu
TEHRAN (IQNA) – Televisheni ya MBC ya Saudi Arabia imeanza kutangaza mfululizo wa pili wa mashindano ya kimataifa ya usomaji wa Qur'ani Tukufu na Adhana.
Habari ID: 3476756 Tarehe ya kuchapishwa : 2023/03/25
TEHRAN (IQNA)- Mashindano ya Qur’ani Tukufu na Adhana yajulikanayo kama Otr Elkalam ya Saudi Arabia yamemalizika katika mji wa Jeddah nchini humo.
Habari ID: 3475152 Tarehe ya kuchapishwa : 2022/04/21